first half Simba walianza kwa nguvu ambapo katika dakika mbili za mwanzo walikuwa wamefanya mashmbulizi ya hatari mawili lakini uhodari wa kipa ulisaidia.
Kwenye dimba la kati leo Jerry Santo na Echesa wa Simba wanachuana vikali na viungo wetu Chuji na Boakye.
Move nyingi za washambuliaji wetu zinaishia kwenye offside au krosi zinaokolewa na Kaseja.
15 comments:
mpira umeanza dk 18 zilizopita bado ni 0-0.
List ya Yanga
1. Berko
2. Nsajigwa
3. Mwasika
4. Nadir
5. E. Boakye
6. I. Boakye
7. Nurdin
8. Chuji
9. Tegete
10. Abdi
11. Nsa Job
bado matokeo ni bila?
halftime mambo bado ni 0-0.
asante kaka.
vipi mambo nusu ya kwanza...tumecheza vizuri au
first half Simba walianza kwa nguvu ambapo katika dakika mbili za mwanzo walikuwa wamefanya mashmbulizi ya hatari mawili lakini uhodari wa kipa ulisaidia.
Kwenye dimba la kati leo Jerry Santo na Echesa wa Simba wanachuana vikali na viungo wetu Chuji na Boakye.
Move nyingi za washambuliaji wetu zinaishia kwenye offside au krosi zinaokolewa na Kaseja.
Tegeta anaweka ngozi ndani, hivyo Simba 0 Yanga 1
kaka cm tuko mbali manza kimeeleweka?
mdau Italy
yanga imepata bao kupitia kwa Jerry Tegete
1-0 jerry Tegete
CM, tupe basi pasi imetoka kwa nani au ndoa umedunda akabahatisha ha ha ha
dakika ya 82 bado tunaongoza 1-0
safiiiii.....leo lazima tule mishikaki ya mnyama simba!
full time
Simba 0 Yanga 1
full time
Simba 0 Yanga 1
walie tu yanga imara daima
Post a Comment