Yanga 2 Azam FC 1
Mbio za kuelekea katika ubingwa wa ligi kuu ya soka ya Vodacom imezidi kunoga baada ya Yanga kuichapa Azam FC 2-1.
Ushindi huo unaifanya Yanga kujikusanyia pointi 43 ikiwa ni pointi 2 tu nyuma ya Simba yenye pointi 45. Timu zote zimebakiza michezo miwili.
Katika mchezo wa leo uliopigwa kwenye uwanja wa Uhuru, Azam ndiyo iliyokuwa ya kwanza kupata bao katika dakika ya 4 kupitia kwa John Boko.
Yanga ilisawazisha katika dakika ya 42 na kuongeza bao jingine katika dakika ya 68 yote yakiwa yamefungwa na Jerry Tegete.
Ushindi huo unaifanya Yanga kujikusanyia pointi 43 ikiwa ni pointi 2 tu nyuma ya Simba yenye pointi 45. Timu zote zimebakiza michezo miwili.
Katika mchezo wa leo uliopigwa kwenye uwanja wa Uhuru, Azam ndiyo iliyokuwa ya kwanza kupata bao katika dakika ya 4 kupitia kwa John Boko.
Yanga ilisawazisha katika dakika ya 42 na kuongeza bao jingine katika dakika ya 68 yote yakiwa yamefungwa na Jerry Tegete.
4 comments:
Yanga 0 African Lyon 1
aisee we bwana acha tuuuu,yanga ni moto utasikia
Kipindi cha Pili kimeanza African Lyon wapo mbele kwa goli 1
Yanga 3 African Lyon 1
Post a Comment