Yanga katika kundi B
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga wamepangwa katika kundi B la michuano ya Kombe la Kagame itakayoanza kupigwa kuanzia mwishoni mwa wiki hii katika miji ya Dar es Salaam na Morogoro.
Makundi kamili ya michuano hiyo ni kama ifuatavyo:
Kundi A:
Simba(Tanzania)
Vital'O(Burundi)
Etincelles (Rwanda)
Ocean View (Zanzibar)
Kundi B
Yanga (Tanzania)
El Merreikh (Sudan)
Bunamwaya(Uganda)
Elman FC (Somalia)
Kundi C
APR(Rwanda)
Ulinzi (Kenya)
St. George (Ethiopia)
Port (Djibouti)
Mechi za Kundi A na B zitachezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam wakati kundi C itapiga mechi zake huko Morogoro kwenye Uwanja wa Jamhuri.
Ratiba kamili itafuata hivi punde.
Makundi kamili ya michuano hiyo ni kama ifuatavyo:
Kundi A:
Simba(Tanzania)
Vital'O(Burundi)
Etincelles (Rwanda)
Ocean View (Zanzibar)
Kundi B
Yanga (Tanzania)
El Merreikh (Sudan)
Bunamwaya(Uganda)
Elman FC (Somalia)
Kundi C
APR(Rwanda)
Ulinzi (Kenya)
St. George (Ethiopia)
Port (Djibouti)
Mechi za Kundi A na B zitachezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam wakati kundi C itapiga mechi zake huko Morogoro kwenye Uwanja wa Jamhuri.
Ratiba kamili itafuata hivi punde.
5 comments:
kutenda kosa sio kosa ,kosa ni kurudia kosa,fanya kweli yanga ulioacha 2008 timiza mwaka huu
Goli ni Yanga 2, Ek Merreikh 1
we acha unafiki.
Goli ni 2 - 2 mpaka sasa
El Merreikh 1 Yanga 0
Post a Comment