Yanga yaichapa Elman 2-0
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga imeichapa Elman ya Smmalia kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kombe la Kagame 2011 uliomalizika hivi punde katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Mabao ya Yanga yalifungwa na Davis Mwape (dk. 27) na Hamisi Kiiza (dk.90)
Mabao ya Yanga yalifungwa na Davis Mwape (dk. 27) na Hamisi Kiiza (dk.90)
7 comments:
Vijana wa jangwan wanaongoza kwa goli 2 mpak sasa dhidi ya bunda mwaya ya uganda,mpira unaendlea
waacha ujinga babu huna job?
jamaa bado hamna matokeo?
Mpira umeisha tumefungwa 1, unajua hatukuwa na maandalizi mazuri.
Baada ya watani wao Simba kushinda 2-0 katika mchezo wa awali leo mchana, Yanga nao wameshinda kwa kuitandika Bunamwaya ya Uganda bao 3 -2 jioni hii katika michuano ya Kombe la Kagame… hebu muache uongoblog si yenu mnakazana kuandika yasio wahusu
si unajua fisi wako everywhere
Ukiona hvyo ujue simba hao wote..hongera wana yanga japo inabdi 2jitahd maana mpira wa leo mh!inabdi 2jitahd maana mpira wa leo mh!
Post a Comment